- June 30, 2021
- Posted by: Maziku Kuwandu
- Category: loan updates
No Comments
Mkopo huu unatolewa kwa kujisajili kupitia matawi yetu yaliyopo sehemu mbalimbali hapa nchini. Ni mkopo wa haraka Zaidi gharama nafuu
Walengwa
Huu ni mkopo unaowalenga wadau mbalimbali. Wadau ni watu ambao atakayeweza kupitia taratibu zote na kupata usajili kupitia mawakala wetu.
Kiasi cha Mkopo Kiwango cha mkopo ni kati ya Tsh.30, 000 – 200,000 kitalipwa ndani ya muda wa miezi 6 Kiwango cha mkopo ni kati ya Tsh.200,000 -5,000,000 kitalipwa ndani ya muda wa miezi 3 mpaka miezi 12